a
Kut 3:1
;
10:25
;
20:24
;
Law 1:2-9
;
Mwa 31:54
;
Kut 24:5
;
Mwa 26:30
;
Kum 12:7
Exodus 18:12
12
a
Kisha Yethro, baba mkwe wa Mose, akaleta sadaka ya kuteketezwa na dhabihu nyingine kwa Mungu, naye Aroni pamoja na wazee wote wa Israeli wakaja kula chakula pamoja na baba mkwe wa Mose mbele za Mungu.
Copyright information for
SwhNEN